
Kwa Mlioko Dar Es Salaam, Mnaweza Kutembelea Ofisi Za TAESA, Kujisajili.
Nafasi za Kazi
Ajira Portal
Hawa ni Wakala Wa Serikali ambao Huwatafutia Watu Internship, na huwa Wanalipa. Ikitokea Umebahatika Ukaenda Sehemu Nzuri ” Wanakuchukua Moja Kwa Moja”
Kwa Mlioko Mbali na Ofisi Za TAESA Mnaweza Kutuma Maombi Kupitia Email.
Email: info@taesa.go.tz
Kujisajili tembelea kwenye tovuti yao ambayo ni https://jobs.kazi.go.tz.
Ahsante